Sunday

THE SCHEME OF TENT OF MEETING















THE SCHEME OF TENT OF MEETING.
  ( Mpangilio wa hema la kukutania).

"Bwana akanena na Musa, na kumwambia, Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza utaisimamisha hiyo maskani ya hema ya kukutania.  Kutoka 40: 1,2. Mungu alitaka Musa amjengee sehemu au mahala pa kukutana.
"Bwana akamwita Musa, na kusema naye kutoka katika hema ya kukutania, akamwambia" Walawi 1:1. Mungu anamuita Musa  akimtaka aende mahala pa kusemezana/kukutana ili aweze kusema naye. Kumbe ili tuweze kuongea na Mungu tunahitaji tutafute mahala rasmi na penye utulivu ili Mungu atusikilize na tumsikilize nini anataka kutoka kwetu.
­­­­­­­­­­­­­­­
TENT OF MEETING ( Hema ya kukutania), Ni mahali ambapo umepaandaa na kuweka muda fulani rasmi ili kuongea na kumsikiliza Mungu na Roho mtakatifu. Ni wewe mwenyewe unakutana na Mungu wako na kuongea naye kama rafiki. Huu ni utaratibu wa kila siku kwa mkristu mkatoliki kwani unakupa muda wa kutafakari maandiko kwa undani zaidi kwa msaada wa Mungu na Roho mtakatifu.

01. “Come Holy Spirit”—I ask for the help of the Holy Spirit—with a song, some short prayer or in my own words.
"Njoo Roho Mtakatifu" - Ninaomba msaada wa Roho Mtakatifu-kwa wimbo, sala fupi au kwa maneno yangu mwenyewe.

02. Jesus is here”—I realize that he is truly present here, he is with me here and now.
"Yesu yuko hapa" -Natambua kwamba yuko hapa kweli , yeye yuko nami hapa na sasa.

03. “Face to face, as a person speaks to a friend”—it is an encounter of friends who are both happy to meet and I can express my joy in prayer of worship. Jesus is my friend, he is delighted to be with me, he loves me, he favors me—it is like being embraced by him.
"uso kwa uso, kama mtu anayesema na rafiki" - ni kukutana na marafiki ambao wote wanafurahi kukutana na naweza kuonyesha furaha yangu katika maombi ya ibada. Yesu ni rafiki yangu, anafurahi kuwa pamoja nami, ananipenda, ananijali - ni kama kuwa nimekubaliwa naye.

04. “Speak, LORD, for your servant is listening”— the Lord wants to tell me something particular here and now. It is a prayer for a word for me.
"Sema, BWANA, kwakuwa mtumishi wako anasikiliza" - Bwana anataka kuniambia kitu fulani mahala hapa na sasa. Ni sala ya neno kwangu.

05. “Lord, what shall I do?”—in the state of internal peace, I take the wait-and-see attitude. I arouse curiosity in myself—I would like to hear what Jesus wants to tell me today.
"Bwana, nifanye nini?" - Katika hali ya amani ya ndani, ninakaa kimya na kutafakari mitazamo. Ninaanza kudadisi ndani yangu-napenda kusikia kile Yesu anataka kuniambia leo.

06. “Your word is a lamp for my feet”—only now I read the chosen and prepared passage of the Bible—I do it slowly, comprehendingly—more than once if necessary.
"Neno lako ni taa ya miguu yangu" - sasa nisoma kifungu kilichochaguliwa na kilichoandaliwa kutoka kwenye Biblia -Ninasoma polepole na kwa uelewa- unaweza kurudia mara kadhaa.

07.  “A light silent sound”—I remain in silence, waiting and listening carefully to the voice of God —with patience and trust. It is an encounter with God in my imagination, my mind, my heart and my memory.
"Sauti nyepesi ya ukimya" -Nabaki kimya, nikisubiri na kusikiliza kwa makini sauti ya Mungu-kwa uvumilivu na imani. Ni kukutana na Mungu katika mawazo yangu, moyo wangu na kumbukumbu zangu.

08.  “To the angel . . . write this . . .” —I write down in my notebook the thoughts that have come to my mind—to save them from oblivion and to be able to return to them any time I need.
"Kwa malaika. . . andika hili. . . " - Ninaandika katika daftari yangu ndogo mawazo ambayo yamekuja katika akili yangu- kuyaokoa ili yasisahaulike na kuyarudia pindi nitakapo hitaji.

09. “Lord . . . I decide now to . . .” —I make a resolution and I write it down in my notebook— obviously only if it arises in me, I do not force myself to make a resolution, because it is not the essence of the Tent of Meeting.

"Bwana. . . Ninaamua sasa. . . " - Ninafanya azimio na ninaandika katika daftari langu dogo – kama tu kwa uwazi linatokea ndani yangu, sijilazimishi kufanya azimio, kwa sababu sio msingi wa hema ya kukutania.

10. “Thanks Jesus”—I thank God for the encounter and for his word. (You may also react to God’s kindness with heartfelt repentance, but it is not obligatory. The prayer should end with thanksgiving.).
 "Asante Yesu" -Namshukuru Mungu kwa kukutana na kwa neno lake. (Unaweza pia kukabiliana na fadhili za Mungu kwa kutubu kweli kutoka moyoni, lakini si lazima .. Sala inapaswa kuishia kwa shukrani.).

3 comments:

  1. This is how we speak to Lord, I usually talk to him and ofcourse I observe many thing which I have never seen coming from God directly. Try to have two days for Tent of Meeting you shall believe me

    ReplyDelete
  2. Amen, that is. i agree with you. we need time to talk with God. and he He needs us ( you personally as friend )

    ReplyDelete
  3. online casino【VIP】Play blackjack online
    Online 온라인 카지노 대한민국 casino【VIP】Play blackjack online.【WG98.vip】⚡,blackjack online casino,casino,online poker room,blackjack poker,golf game,

    ReplyDelete

God Bless You